Blogger Widgets

Tuesday, 16 July 2013

XAVI HERNANDEZ AVUTA JIKO:MESSI,ALBA NA WENGINE KIBAO WAHUDHURIA HARUSI , TAZAMA PICHA 12 ZA HARUSI:


         Xavi akiwa na mkewe Nuria Cunillera 

Hatimaye kiungo wa Klabu ya Barcelona ya Hispania Xavi Hernandez ameamua 

kuachana na ukapera kwa kumuoa mchumba wake wa muda mrefu Nuria Cunillera, 

ndoa iliyofungwa siku ya jumamosi usiku huku ikihudhuriwa na wachezaji wenzake akiwemo gwiji Lionel Messi.
Shuhudia jinsi mambo yalivyokuwa katika picha

















No comments:

- See more at: http://www.helperblogger.com/2012/06/jquery-facebook-like-box-popup-with.html#sthash.AGJhd6Gy.dpuf