
Unaambiwa makocha wa Manchester United wamekua wakitazama uwezo wa soka wa Brooklyn mwenye umri wa miaka 14 na huenda akaalikwa kujiunga na Academy ya club hii ambayo baba yake alitokea kwenye mechi zinazocheza kwenye 400, kushinda Premier League mara sita, FA Cup mara mbili pamoja na European Cup.
Brooklyn ambae alikua kwenye academy ya LA Galaxy Marekani wakati wa time ya baba yake ameshaingia kwenye headlines za kuwa karibu na club kama Chelsea na Queens Park Rangers.

Hapa ni wakati watoto wote watatu wa kiume wa Beckham walipoalikwa kwenye mazoezi na timu ya PSG

Kwenye moja ya interview zake, Beckham alipoulizwa kuhusu watoto wake kuwa wachezaji alisema ‘kama mzazi siku zote una wasiwasi, je watakua na njaa ya mafanikio kama niliyokua nayo? na kila baada ya kucheza huwa wananiuliza, baba nimecheza vizuri?’
No comments:
Post a Comment