Blogger Widgets

Sunday, 20 October 2013

Man Utd yakosa mwelekeo,yatoa droo.Chelsea,everton na swansea na man city zashinda

 Wachezaji wa Man United
kwa mara nyingine tena Manchester United imeandikisha matokeo mabaya kwa kutoka sare nyumbani.
Goli lililofngwa na nahodha Adam Lallana dakika moja kabla ya mechi kumalizika,limeiwezesha Southampton kuondoka na alama 1 kwenye uwanja wa Old Trafford.
Manchester United imepata goli la kuongoza katika dakika ya 25 ya mchezo.
Matokeo hayo ya goli 1-1 ni ya kuvunja moyo kwa mashabiki wa Manchester United ambayo imekwisha funga mechi 2 tu miongoni mwa mechi 7 na sasa iko nyuma ya viongozi wa ligi Arsenal kwa alama 8.
Katika matokeo mengine ya mechi zilizochezwa,Chelsea waliinyuka Cardiff magoli 4-1;Everton ikailaza Hull 2-1;Swansea iliichapa Sunderland 4-0 Stoke wakatoka sare bila kufungana na West Brom.

FT Newcastle United 2 - 2 Liverpool
FT Arsenal 4 - 1 Norwich City
FT Chelsea 4 - 1 Cardiff City
FT Everton 2 - 1 Hull City
FT Manchester United 1 - 1 Southampton
FT Stoke City 0 - 0 West Bromwich Albion
FT Swansea City 4 - 0 Sunderland
FT West Ham United 1 - 3 Manchester City

No comments:

- See more at: http://www.helperblogger.com/2012/06/jquery-facebook-like-box-popup-with.html#sthash.AGJhd6Gy.dpuf