Blogger Widgets

Thursday, 1 August 2013

OWINO AKIMWAGA WINO 'LIVE' SIMBA NA KUSHIKISHWA UZI WA MNYAMA


 
Beki wa kimataifa wa Uganda, Joseph Owino (katikati) akikabidhiwa jezi ya Simba SC leo baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu hiyo. Anayemkabidhi jezi kushoto ni Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba, Joseph Itang'are 'Kinesi' na kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Said Pamba. 


Dole gumba; Owino akitia dole gumba kwenye fomu za usajili baada ya kusaini

No comments:

- See more at: http://www.helperblogger.com/2012/06/jquery-facebook-like-box-popup-with.html#sthash.AGJhd6Gy.dpuf