
Wanyama
ambaye alikuwa akiwindwa na vilabu kadhaa ikiwemo Arsenal na Liverpool,
amesaini mkataba wa miaka minne kuichezea Saint inayofundishwa na Paulo
Di Canio.
Ada ya uhamisho wa Wanyama ambaye anakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Kenya kucheza kwenye EPL, haijatajwa.
Baada ya kuthibitishwa kwa dili hilo la uhamisho Wanyama alitumia ukurasa wake rasmi wa Twitter na kuandika

No comments:
Post a Comment