Blogger Widgets

Friday, 5 July 2013

KIBADENI KOCHA BORA, YONDANI MWANASOKA BORA, NA YANGA NDIO TIMU YENYE NIDHAMU - TUZO ZA VODACOM PREMIER LEAGUE

 
                                             Kelvin Yondani


     Abdalah King Kibaden

Beki wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga kwenye klabu ya Yanga, Kevin Patrick Yondan amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2012/2013 na kuzawadiwa donge nono la Sh. Milioni 5. Yondani ambaye alihamia Yanga akitokea Simba amechaguliwa kuwa mwanasoka bora VPL baada ya kuwa na msimu mzuri na klabu yake ya Yanga ambayo ilitwaa ubingwa huo huku akiruhusu mabao machache kuliko timu nyinginezo.
Vodacom pia ilitoa tuzo kwa kocha na bora na wachezaji wengine waliofanya vizuri msimu uliopita na tuzo zilikuwa kama zifuatazo


 
           Kipre tchetche
 
Top Scorer- Kipre Tchetche Azam (5m)
Best Player- Kevin Yondani (5m)
Best Coach Abdallah Kibadeni Kagera (7.5m),
Best Goalkeeper- David Burhani Prisons (5m)
Mchezaji mwenye nidhamu- Fulli Maganga JKT Ruvu (5m)
Team yenye nidhamu- Yanga (15m)

No comments:

- See more at: http://www.helperblogger.com/2012/06/jquery-facebook-like-box-popup-with.html#sthash.AGJhd6Gy.dpuf